sw_tn/gen/30/41.md

507 B

mbele ya macho ya kundi

Hapa "macho" ina maana ya "kuona". "ili kwamba mifugo waweze kuona"

kati ya fito

"mbele ya fito"

wanyama waliodhaifu

"wanyama wenye nguvu chache"

Hivyo wanyama dhaifu wakawa wa Labani, na wenye nguvu wakawa wa Yakobo

"Kwa hiyo wanyama dhaifu wakawa wa Labani, na wale wenye nguvu wakawa wa Yakobo". Unaweza kuiweka wazi zaidi. "Kwa hiyo wanyama dhaifu hawakuwa na milia au madoa na wakawa wa Labani, na wale wenye nguvu hawakuwa na milia au madoa na wakawa wa Yakobo"