sw_tn/gen/30/19.md

267 B

Lea akashika mimba tena

"Lea akawa mimba tena"

na kuzaa mwana wa sita kwa Yakobo

"na kuzaa mtoto wa kiume wa sita kwa Yakobo"

Akamwita jina lake Zabuloni

"Jina la Zabuloni lina maana ya "heshima"

na kumwita jina lake Dina

Hili ni jina la binti wa Lea.