sw_tn/gen/29/11.md

300 B

Yakobo akambusu Raheli

Nyakati za kale Mashariki ya Karibu, ilikuwa kawaida kumsalimu ndugu na busu. Ingawa, inafanywa baina ya wanamume.

akalia kwa sauti

Yakobo analia kwa sababu amefurahi sana. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.

ndugu wa baba yake

"ana undugu na baba yake"