sw_tn/gen/26/18.md

661 B

Isaka akachimba

Hapa "Isaka" ina maana ya Isaka na watumishi wake. "Isaka na watumishi wake wakachimba"

vilivyokuwa vimechimbwa

"ambao watumishi wa Abrahamu walichimba"

siku za Abrahimu baba yake

Msemo "katika siku za" ina maana ya maisha yote ya binadamu. "ambapo Abrahamu, baba yake, alipokuwa anaishi"

Wafilisiti walikuwa wamevizuia

Hii ndio ilikuwa sababu ya Isaka kuvichimba. Njia kadhaa za kutafsiri hii ni 1) Kwa kuwa hili lilitokea kwanza, sentensi hii inaweza ikaja kabla ya sentensi juu ya Isaka kuvichimba au 2) Sentensi hii inaweza kuanza na "Isaka alifanya hivi kwa sababu Wafilisti waliwazuia"

wamevizuia

"walizijaza na udongo"