sw_tn/gen/25/17.md

776 B

Hii ndiyo ilikuwa miaka ya Ishimaeli, miaka 137

"Ishmaeli aliishi miaka 137"

akapumua pumzi yake ya mwisho na akafa

Msemo "akapumua pumzi yake ya mwisho" na "akafa" zina maana moja. "alikufa"

akakusanywa pamoja na watu wake

Hii ina maana ya kwamba ishmaeli alikufa, nafsi yake ilikwenda sehemu ile ile ndugu zake waliokufa kabla yake. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "alijiunga na familia yake ambao tayari walikuwa wamekufa"

Walioshi

"Uzao wake walikaa"

toka Havila mpaka Shuri

"kati ya Havila na Shuri"

Havila

Havila Ilikuwa mahali katika jangwa la Arabia.

kama yule aelekeaye mbele

"katika upande wa"

Waliishi kwa uadui kati yao

Maana zaweza kuwa 1) "hawakuishi kwa amani pamoja" au 2) "waliishi mbali kutoka kwa ndugu zao wengine"