sw_tn/gen/25/13.md

565 B

Taarifa ya Jumla:

Taarifa ya jumla

Hawa ndio walikuwa wana wa Ishimaeli, na haya ndiyo majina yao, kwa vijiji vyao, na katika vituo vyao; Maseyidi kumi na wawili kufuatana na kabila zao

Hii inaweza kuwekwa kama sentensi mbili. "Haya yalikuwa majina ya wana kumi na wawili wa Ishmaeli. Waliongoza kabila ambazo ziliitwa baada yao, na kila mmoja wao alikuwa na vijiji vyao na kambi zao"

kumi na wawili

"12"

Maseyidi

Hapa neno "maseyidi" ina maana ya wanamume waliokuwa viongozi au watawala wa makabila; haimaanishi ya kwamba walikuwa watoto wa mfalme.