sw_tn/gen/23/14.md

1.5 KiB

Efroni

Hili ni jina la mwanamume.

Tafadhali bwana wangu, nisikilize

"Nisikie, bwana wangu" au "Nisikilize, bwana mwema"

bwana wangu

Msemo huu unatumika kuonyesha heshima kwa Abrahamu.

Kipande cha ardhi kinathamani ya shekeli mia nne za fedha, na hiyo ni kitu gani kati yangu mimi na wewe?

Efroni alimaanisha ya kwamba kwa kuwa yeye na Abrahamu walikuwa matajiri wote, shekeli 400 za dhahabu zilikuwa kiwango kidogo. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kipande cha shamba kina thamani cha shekeli mia nne za fedha tu. Kwako na mimi, hii si kitu"

shekeli mia nne za fedha

Hii ni kama kilogramu 4.5 za fedha

mia nne

"400"

wazike wafu wako

Kivumishi cha "wafu" kinaweza kuelezwa kama kitenzi au "mke". "Nenda kamzike mke wako ambaye amekufa"

Abrahamu akampimia Efroni kiwango cha fedha alizosema

"Abrahamu alipima fedha na kumpatia Efroni kiwango" au "Abrahamu alimhesabia Efroni kiwango cha fedha"

kiwango cha fedha alizosema

"kiwango cha fedha ambacho Efroni alikitaja"

wana wa Helthi wakisikiliza

Nomino inayojitegemea "wakisikiliza" inaweza kusemwa kama "sikia" au "sikiliza". "ili kwamba wana wa Hethi walimsikia" au "wakati wana wa Hethi walikuwa wakisikiliza"

wana wa Helthi

Hapa "watoto" ina maana ya wale waliotokana na Hethi. "uzao wa Hethi"

kwa mujibu wa viwango vya vipimo vya kibiashara

"kwa kutumia viwango vya vipimo vya uzito ambao wafanyabiashara walitumia." Hii inaweza kuelezwa kama sentensi mpya. "Alipima fedha kwa njia ile ile ambayo wafanyabiashara walikuwa wakitumia kupima"