sw_tn/gen/22/23.md

472 B

Bethueli akawa baba wa Rebeka

"Baadae Bethueli akawa baba wa Rebeka"

Hawa walikuwa ni wale watoto wanane ambao Milka alizaa kwa Nahori, ndugu yake na Abraham

"hawa walikuwa watoto wanane wa Milka na Nahori, ndugu yake Abrahamu" Hii ina maana ya watoto waliorodheshwa katika 22:20.

nane

"8"

Suria wake

"Suria wa Nahori"

Reuma

Hili ni jina la mwanamke.

pia akamzaa

"pia akajifungua"

eba, Gahamu, Tahashi, na Maaka

Haya yote ni majina ya wanamume