sw_tn/gen/21/31.md

292 B

akaita mahali pale

"Abrahamu akapaita mahali pale"

Beerisheba

"Beerisheba inaweza kuwa na maana ya "kisima cha kiapo" au "kisima cha saba".

wote

"Abrahamu na Abimeleki"

Fikoli

Hili ni jina la mwanamume.

wakarudi katika nchi ya Wafilisti

"wakarudi katika nchi ya Wafilisti"