sw_tn/gen/20/13.md

631 B

Taarifa ya Jumla:

Mstari wa 13 ni muendelezo wa jibu la Abrahamu kwa Abimeleki.

nyumba ya baba yangu

Hapa "nyumba" ina maana ya familia ya Abrahamu. "baba yangu na familia yangu yote" au "nyumba ya baba yangu"

nilimwambia mke wangu, kwa kila sehemu tutakayo kwenda, unioneshe uaminifu wako kama mke wangu: Kila mahali tutakapo kwenda, useme juu yangu kuwa, "Ni kaka yangu."'''

Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kusemwa katika nukuu tofauti. "Nilisema kwa Sara ya kwamba nataka awe mwaminifu kwangu kwa kuwaambia watu kila mahali tuendapo ya kwamba mimi ni kaka yake"

Abimeleki akatwaa

"Abimeleki akaleta baadhi"