forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
454 B
Markdown
24 lines
454 B
Markdown
# Shuri
|
|
|
|
Hili ni eneo la jangwa upande wa mashariki wa mpaka wa Misri.
|
|
|
|
# akatuma watu wake kumchukua Sara
|
|
|
|
"aliwafanya wanamume wake kumfuata Sara na kumleta kwake"
|
|
|
|
# Mungu akamtokea Abimeleki
|
|
|
|
"Mungu akamtokea Abimeleki"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hapa neno "tazama" linaongeza msisitizo kwa kile kifuatacho. "Nisikilize"
|
|
|
|
# wewe ni mfu
|
|
|
|
Hii ni njia ya nguvu ya kusema mfalme atakufa. "hakika utakufa hivi karibuni" au "Nitakuua"
|
|
|
|
# mke wa mtu
|
|
|
|
"mwanamke aliyeolewa"
|