sw_tn/gen/19/29.md

408 B

Taarifa ya Jumla:

Mstari wa 29 ni ufupi wa sura hii.

Mungu akamkumbuka Abrahamu

Hii inasema kwa nini Mungu alimuokoa Lutu. "kukumbuka" ni namna ya kusema "alimkumbuka". Hii haimaanishi Mungu alisahau juu ya Abrahamu. Ina maana alimfikiria Abrahamu na kuwa na huruma juu yake. "Mungu alimfikiria Abrahamu na kuwa na huruma juu yake"

katika maangamizi

"kutoka kwa maangamizi" au "kutoka kwa hatari"