sw_tn/gen/19/26.md

12 lines
449 B
Markdown

# akawa nguzo ya chumvi
"akawa kama sanamu ya chumvi" au "mwili wake ukawa kama jiwe refu la chumvi". Kwa sababu hakutii malaika aliyemwambia asitazame nyuma ya mji, Mungu alimfanya awe kama sanamu iliyotengenezwa na jiwe la chumvi.
# tazama
Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.
# kama moshi wa tanuru
Hii inaonyesha ya kwamba ulikuwa ni moshi mkubwa sana. "kama moshi utokao katika moto mkubwa sana"