sw_tn/gen/19/12.md

809 B

Basi wale watu wakamwambia

"Kisha wale wanamume wawili wakasema" au "Kisha malaika wawili wakasema"

Je una mtu mwingine yeyote hapa?

"Je una mtu mwingine wa familia yako ndani ya mji?" au "Je una mtu mwingine wa familia katika eneo hili?"

yeyote mwingine katika huu mji

"mtu mwingine katika familia yako anayeishi katika mji huu"

tunakaribia kuiangamiza

Neno "tunakaribia" hapa linajitegemea. Ni malaika wawili pekee wangeenda kuangamiza mji; Lutu hakuwa anaenda kuangamiza mji. Iwapo lugha yako ina namna ya kutenganisha "tunakaribia" basi itumike hapa.

mashitaka dhidi yake mbele ya Yahwe yamezidi

Hii inaweza kusemwa kwa namna nyingine ili kwamba nomino ya "mashtaka" inaelezwa kama kitenzi. "kwa hiyo watuwengi walikuwa wakimwambia Yahwe ya kwamba watu wa mji wanafanya mambo ya uovu"