sw_tn/gen/19/06.md

843 B

nyuma yake

"nyuma yake" au "baada ya kuingia ndani"

Nawasihi, ndugu zangu

"nawaomba, ndugu zangu"

ndugu zangu

Lutu alizungumza kwa njia ya kirafiki kwa wanamume wa mji akitarajia wangemsikiliza. "rafiki zangu"

msitende uovu

"msifanye jambo la uovu hivi" au "msifanye jambo la uovu kama hili"

Tazama

"Sikiliza kwa makini" au"Angalia hapa"

hawajawahi kulala na

"hawajashiriki tendo la ngono na" Lugha yako inaweza kuwa na njia ya upole ya kusema hili. "hawajawajua"

lolote muonalo kuwa jema machoni penu

"lolote mnalotamani" au "lolote mnalofikiria ni sahihi"

chini ya kivuli cha dari yangu

Wanamume wawili walikuwa wageni katika nyumba ya Lutu, kwa hiyo alihitaji kuwalinda. Neno "dari" ni maana nyingine ya kusema nyumba na sitiari kwa Lutu kuwalinda. "ndani ya nyumba yangu, na Mungu anatarajia mimi niwalinde"