sw_tn/gen/18/20.md

825 B

kilio cha Sodoma na Gomora ni kikuu

Hii inaweza kuelezwa kwa maneno mengine ili maana halisi ya "kilio" linaloelezwa kama kitenzi cha "kushtaki". "watu wengi sana walikuwa wakishtaki watu wa Sodoma na Gomora kufanya uovu mwingi"

dhambi yao ni kubwa

"wamefanya dhambi sana"

sasa nitashuka pale

"Nitashuka pale sasa hadi Sodoma na Gomora"

nitashuka pale na kuona

"nitashuka pale kujua" au "nitashuka pale kuamua"

kuona kilio ... kilicho nifikia

Yahwe anazungumzia kana kwamba alijua kuhusu jambo hili kwa sababu alisikia kilio na mashtaka yakija kutoka kwa watu waliokuwa wameteseka. Hii inaweza kuwekwa kwa maneno mengine ili kitenzi cha "kilio" kiweze kuelezwa kama kitenzi cha "kushtaki". "waovu kama wale wanaowashtaki wanasema kuwa wako vile"

ikiwa kweli

"kama sio waovu kama kilio kinavyoashiria"