sw_tn/gen/18/16.md

1.5 KiB

kuwaaga

"kuwaaga kwenda njia yao" au "kusema 'Kwaheri' kwao". Ilikuwa ni jambo la upole kuwasindikiza wageni umbali fulani wakati wanapoondoka.

Je ni mfiche Abraham kile ninacho kusudia kufanya ...yeye?

Mungu alitumia swali hili la balagha kusema ya kwamba alikuwa akizungumza na Abrahamu kuhusu jambo muhimu sana na kwamba ilimpasa yeye kufanya hivyo. "Sipaswi na sitamficha Abrahamu kile ninachotaka kufanya .... yeye." au "Ninatakiwa na nitamwambia Abrahamu kile ninachotaka kufanya ... yeye"

Je ni ... kufanya, kwa kuwa ... yeye?

"Sitakiwi ... kufanya. Hii ni kwa sababu .. yeye"

katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitawabariki mataifa yote ya duniani kupitia Abrahamu.

katika yeye watabarikiwa

"watabarikiwa kwa sababu ya Abrahamu" au "watabarikiwa kwa sababu nimembariki Abrahamu".

ili awaelekeze

"ya kwamba atawaongoza" au "ili kwamba awaamuru"

waishike njia ya Yahwe ... Yahwe ampatie ... aliyo yasema

Yahwe anazungumza juu yake mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine. "kutii kile ambacho mimi, Yahwe nahitaji....mimi, Yahwe, nitaleta ... nimesema"

waishike njia ya Yahwe

"kutii amri za Yahwe"

watende utakatifu na haki

"kwa kufanya utakatifu na haki" Hii inaelezea namna ya kushikilia njia ya Yahwe.

ili kwamba Yahwe ampatie Abraham yale aliyo yasema kwake

"ili kwamba Yahwe aweze kumbariki Abrahamu kama alivyosema angefanya" Hii ina maana ya ahadi ya agano ya kumbariki Abrahamu na kumfanya kuwa taifa kubwa.