sw_tn/gen/18/13.md

958 B

Kwa nini Sara amecheka na kusema, Je ni kweli nitazaa mtoto, nikiwa mzee'?

Mungu alitumia swali la balagha kuonyesha ya kwamba alifahamu alichokuwa akikifikiria Sarai na ya kwamba hakufurahishwa nacho. Anarudia swali la balagha la Sarai (18:11) kutumia maneno tofauti. "Sarai hakuwa sahihi kucheka na kusema, "Sitazaa mtoto kwa sababu mimi ni mzee sana!"

Je kuna jambo lolote gumu sana kwa Yahwe?

"Je kuna jambo lolote ambalo Yahwe hawezi kufanya?" Yahwe anazungumzia juu yake mwenyewe kana kwamba anazungumzia mtu mwingine kumkumbusha Abrahamu ya kwamba yeye, Yahwe, ni mkuu na anaweza lolote. "Hakuna jambo ambalo mimi, Yahwe, siwezi kufanya!"

katika wakati nilioweka mimi majira ya machipuko

"Katikamuda huo niliouweka, ambao ni wakati wa machipuko"

Kisha Sarai akakataa na kusema

"Kisha Sarai aliukana kwa kusema"

akajibu

"Yahwe alijibu"

hapana ulicheka

"Ndio, ulicheka." Hii ina maana ya "Hapana, hiyo sio kweli; kweli umecheka."