sw_tn/gen/17/22.md

384 B

Alipo kuwa amemaliza kuzungumza naye

"Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu"

Mungu akaondoka kwa Abraham

"Mungu akamuacha Abrahamu"

kila mwanaume miongoni mwa watu wa nyumba ya Abraham

"kila binadamu wa kiume katika nyumba ya Abrahamu" au "kila mtu wa kiume katika nyumba ya Abrahamu". Ina maana ya wanadamu wa kiume wa umri wote: watoto wachanga, wavulana na wanamume.