sw_tn/gen/16/13.md

672 B

Yahwe aliye zungumza naye

"Yahwe, kwa sababu alizungumza naye"

je ninaendelea kweli kuona, ... mimi?

Hajiri alitumia swali hili la balagha kuonyesha mshangao wake wa kuwa hai hata baada ya kukutana na Mungu. Watu walitarajia iwapo wanakutana na Mungu, wangekufa. "Ninashangaa ya kwamba bado nipo hai, ... mimi"

Kwa hiyo kisima kiliitwa Beerlahairori

Watafsiri wanaweza kuongeza maandishi yanayosema "Beerlahairori ina maana ya 'kisima cha yule anayeniona mimi"

Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi.

Neno "tazama" hapa linavuta ukweli kwamba kisima kilikuwa katika eneo ambalo mwandishi na wasomaji wake walijua. "tena, ilikuwa kati ya Kadeshi na Beredi"