sw_tn/gen/13/10.md

730 B

nchi yote tambarare ya Yorodani

Hii ina maana ya eneo la jumla la mto Yordani.

ilikuwa na maji kila mahali

"ilikuwa na maji mengi"

kama vile bustani ya Yahwe, na kama nchi ya Misri

"kama bustani ya Yahwe au kama nchi ya Misri". Haya yalikuwa maeneo mawili tofauti.

bustani ya Yahwe

Hili ni jina lingine kwa bustani ya Edeni.

bustani

Hii yaweza kuwa shamba la miti ya matunda au eneo lenye kila aina ya miti.

Hii ilikuwa ni kabla Yahwe hajaiangamiza Sodoma na Gomora

Hii inatazamia jambo litakalotokea baadae. Hapa ni muhimu kwa sababu inaeleza kwa nini Lutu alikaa katika eneo ambalo baadae halikuwa na mbolea.

ndugu

"ndugu wa karibu" au "familia". Hii ina maana ya Lutu na Abramu pamoja na nyumba zao.