forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
665 B
Markdown
24 lines
665 B
Markdown
# mpaka
|
|
|
|
"eneo" au "mpaka wa eneo"
|
|
|
|
# ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza
|
|
|
|
Mwelekeo wa kusini waweza elezwa wazi kama itahitajika. "Kutoka mji wa Sidoni magharibi hata mji wa Gaza, ambao uko karibu na Gerari"
|
|
|
|
# na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha
|
|
|
|
Mwelekeo ni "mashariki" au "bara" inaweza kuelezwa wazi kama itahitajika. "kisha mashariki mwa miji ya Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hata Lasha"
|
|
|
|
# Hawa walikuwa wana wa Hamu
|
|
|
|
Neno "hawa" lina maana ya watu na makundi ya watu waliorodhoshwa katika mistari ya 10:6
|
|
|
|
# kwa lugha zao
|
|
|
|
"waligawanyika kulingana na lugha zao tofauti"
|
|
|
|
# katika ardhi zao
|
|
|
|
"katika makazi yao"
|