forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
358 B
Markdown
8 lines
358 B
Markdown
# akawa baba wa
|
|
|
|
"akazaa watoto wake wa kiume". Hii haituambii kama wana wa kiume walizaliwa katika siku moja au mika tofauti.
|
|
|
|
# Shemu, Hamu, na Yafethi
|
|
|
|
Yawezekana wana hawa wa kiume hawajaorodheshwa kufuata kuzaliwa kwao. Kuna mjadala kuhusu nani alikuwa mkubwa. Epuka kutafsiri haya majina na kuonyesha ya kwamba orodha ipo katika mpangilio wa umri wao.
|