forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
782 B
Markdown
28 lines
782 B
Markdown
# Ada .. Sila
|
|
|
|
majina ya wanawake
|
|
|
|
# sikieni sauti yangu ... sikilizeni nisemacho
|
|
|
|
lameki alisema jambo moja mara mbili kuonyesha msisitizo. Sauti yake ni lugha nyingine kwa utu wake wote. "nisikilizeni kwa makini"
|
|
|
|
# mtu ... kijana
|
|
|
|
Lameki alimuua mtu mmoja tu
|
|
|
|
# kwa kunijeruhi ... kwa kunichubua
|
|
|
|
"kwa sababu alinijeruhi ... kwa sababi alinichubua" au "kwa sababu aliniumiza"
|
|
|
|
# Ikiwa Kaini atalipiwa kisasi mara saba, ndipo Lameki
|
|
|
|
Lameki anajua ya kwamba Mungu atalipa kisasi kwa ajili ya Kaini mara saba. "Kwa maana Mungu atamuadhibu yeyote atakayemuua Kaini mara saba, Lameki"
|
|
|
|
# ndipo Lameki atalipiwa kisasi mara sabini na saba
|
|
|
|
mara saba - Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "yeyote atakayeniua, Mungu atamuadhibu mara sabini na saba"
|
|
|
|
# sabini na saba
|
|
|
|
saba - 77
|