sw_tn/gen/03/12.md

312 B

Nini hiki ulichofanya?

Mungu alikwishajua ni nini mwanamke alichofanya. Alipouliza swali hili, alikuwa akimpatia nafasi ajieleze kuhusu lile jambo, na alikuwa akionyesha kusikitishwa kwake kwa kile alichokifanya.Lugha nyingi hutumia maswali ya balagha kwa ajili ya kukemea na kukaripia. "Umefanya jambo baya"