sw_tn/gen/02/21.md

874 B

akaleta usingizi mzito kwa mtu huyu

"alisababisha mwanamume kulala sana." Usingizi mzito ni wakati ambapo mtu kalala na hawezi kubughudhiwa kirahisi au kuamshwa.

Kwa ubavu ... akafanya mwanamke

"Kutoka ubavuni... alimuumba mwanamke." Ubavu ni nyenzo ambayo Mungu alimuumba mwanamke.

kwa sasa, huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu

"Hatimaye, mifupa ya huyu ni kama ya kwangu, na nyama yake ni kama nyama yangu". Baada ya kutazama miongoni mwa wanyama wote kwa ajili ya mwenzi na kukoswa, hatimaye akamwona mtu kama yeye ambaye angeweza kuwa mwenzi wake. Yawezekana mwanamume alionyesha hisia za faraja na furaha.

nyama

Hii inamaanisha sehemu laini za mwili kama ngozi na msuri.

ataitwa 'mwanamke,' kwa sababu ametwaliwa katika mwanaume

"Neno la Kihebrania la 'mwanamke' linafanana na neno la Kihebrania kwa ajili ya 'mwanamume'.