forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.2 KiB
Markdown
40 lines
1.2 KiB
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Sura ya pili iliyobaki ya Mwanzo inaelezea juu ya Mungu alivyoumba watu katika siku ya sita.
|
|
|
|
# Haya yalikuwa ni matukio yahusuyo mbingu na nchi
|
|
|
|
"Hii ni habari ya mbingu na nchi" au "Hii ni simulizi ya mbingu na nchi" Yawezekana maana ni 1) ni kifupisho cha matukio yaliyoelezwa katika Mwanzo 1:1-2:3 au 2) inakaribisha matukio yaliyoelezwa katika Mwanzo 2.
|
|
|
|
# vilipoumbwa
|
|
|
|
Yahwe Mungu aliviumba". Katika sura ya 1 mwandishi kila mara anamzungumzia Mungu kama "Mungu", lakini katika sura ya 2 kila mara anamzungumzia Mungu kama "Yahwe Mungu".
|
|
|
|
# katika siku ambayo Yahwe Mungu aliumba
|
|
|
|
"Yahwe Mungu alipoumba". neno "siku" linamaana ya muda wote wa uumbaji na siyo siku hiyo moja pekee.
|
|
|
|
# Yahwe
|
|
|
|
Hili ni jina la Mungu ambalo alilifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
|
|
|
|
# Hapakuwa na msitu wa shambani
|
|
|
|
hapakuwa na vichaka vimeavyo msituni ambayo wanyama wangeweza kula
|
|
|
|
# hapakuwa na mmea wa shambani
|
|
|
|
hapakuwa na mimea ya majani kama mboga au mboga za kijani ambazo wanyama na binadamu wangeweza kula
|
|
|
|
# kulima
|
|
|
|
kufanya kila kitu alichopaswa kufanya ili kwamba mimea iweze kuota vizuri
|
|
|
|
# ukungu
|
|
|
|
Yawezekana maana yake ni 1) kitu kama umande au ukungu wa asubuhi au 2) chemichemi kutoka mikondo chini ya ardhi.
|
|
|
|
# uso wote wa ardhi
|
|
|
|
dunia nzima
|