forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.2 KiB
Markdown
33 lines
1.2 KiB
Markdown
# Isitokee nikajivuna isipokuwa kwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo
|
|
|
|
"sitaki kujivunia kitu chochote zaidi ya msalaba"
|
|
|
|
# ulimwengu umesulubiwa kwangu
|
|
|
|
Tungo hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji: "Ninadhani duniani tayari imekwisha kufa" au " naichukulia dunia kama ni mharifu ambaye Mungu amemuua msalabani"
|
|
|
|
# kwa ulimwengu
|
|
|
|
maneno "nimesulubiwa" yanaeleweka vizuri kutoka na maneno yaliyotangulia kabla ya haya. " na nimesulubishwa katika ulimwengu"
|
|
|
|
# kwa ulimwengu
|
|
|
|
Maana zinazokubalika ni) Ulimwengu unadhania kuwa mimi tayari nimeshakufa" au "dunia inanichukulia mimi kama mharifu ambaye Mungu amemuua msalabani"
|
|
|
|
# Ulimwengu
|
|
|
|
maana zinazokubalika ni 1) watu wa dunia, wale ambao hawamjali Mungu au 2) mambo yale ambayo watu wasiomjua Mungu hufikiri ni ya muhimu.
|
|
|
|
# kuwa si kitu
|
|
|
|
"ni muhimu" kwa Mungu
|
|
|
|
# uzao mpya
|
|
|
|
maana inawezekana ni 1) muumini mpya katika Yesu Kristo au 2) maisha mapya katika muumini.
|
|
|
|
# amani na rehema juu yao, na Israeli wa Mungu
|
|
|
|
maana zinazoweza kukubalika ni 1) kwamba waumini kwa ujumla ni Israeli ya Mungu au 2) "amani na rehema ziwe juu ya waamini wa Mataifa na juu ya Israeli ya Mungu
|
|
" au 3) "amani na iwe juu ya wale wanaofuata kanuni , na inaweza rehema ziwe hata juu ya Israeli ya Mungu. "
|