forked from WA-Catalog/sw_tn
557 B
557 B
tunda la Roho ni upendo...kiasi
Paulo anatumia sitiari kuonesha kile ambacho watu wanaweza kukiona kwa watu wengine. "Watu ambao wanaongozwa na Roho wataonesha upendo ...kiasi kama vile mti unavyozaa tunda."
tunda la roho
Ni kile ambacho Roho huzalisha"
wameusulibisha mwili pamoja na shauku na tamaa zake mbaya
Paulo anaongelea Wakristo ambao huzuia tamaa mbaya kana kwamba tamaa hizo walikuwa ni watu ambao wakristo walikuwa wakiwaua. "tumeua asili yetu ya dunia pamoja na tamaa na hamu zake mbaya kana kwamba tumezisulubisha kwenye msalaba."