sw_tn/gal/05/22.md

557 B

tunda la Roho ni upendo...kiasi

Paulo anatumia sitiari kuonesha kile ambacho watu wanaweza kukiona kwa watu wengine. "Watu ambao wanaongozwa na Roho wataonesha upendo ...kiasi kama vile mti unavyozaa tunda."

tunda la roho

Ni kile ambacho Roho huzalisha"

wameusulibisha mwili pamoja na shauku na tamaa zake mbaya

Paulo anaongelea Wakristo ambao huzuia tamaa mbaya kana kwamba tamaa hizo walikuwa ni watu ambao wakristo walikuwa wakiwaua. "tumeua asili yetu ya dunia pamoja na tamaa na hamu zake mbaya kana kwamba tumezisulubisha kwenye msalaba."