sw_tn/gal/05/13.md

916 B

Kwa kuwa

Paulo anatoa sababu kwa maneno yake yaliyo katika 5:11:

Mmeitwa katika uhuru

kifungu hiki cha maneno chaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu amewaita katika uhuru"

Mungu amewaiteni ninyi kwenye uhuru.

Maana zinazokubalika ni 1) Mungu amewachagua ninyi kuwa watu wake ili kwamba muwe huru au 2) Mungu ameamuru ninyi muwe huru.

Ndugu

Ndugu hurejea kwa wakristo wa " kiume na wa kike"

fursa kwa ajili ya mwili

"nafasi ya kufanya kile kinachoridhisha asili yenu ya dhambi," Hii inarejelea hasa vitu ambavyo vinaleta madhara kwa mtu mwenyewe binafsi au majirani

sheria yote imekamilika katika amri moja

Maana zinazokubalika ni 1) "unaweza kueleza sheria yote katika amri moja, ambayo ni hii" au 2) kwa kutii amri moja, unatii amri zote, na hiyo amri ni hii."

Ni lazima umpende jirani yako kama wewe mwenyewe

maneno "wewe," "yako," na "wewe mwenyewe" yote yako katika umoja