sw_tn/gal/05/09.md

592 B

hamtafikiri kwa njia nyingine yoyote

"hamtaamini kitu chochote totauti na kile ninachowaambia"

yeyote yule atakayepotosha atabeba hukumu

" Mungu atamwadhibu mtu huyo anayewapotosha na kuwasumbua"

Anayewapotosha ninyi

"anayesababisha ninyi mkose uhakika wa kipi ni kweli" au "kuinua shida miongoni mwenu"

Yeyote awaye

Maana zinazokubalika ni 1) Paulo hajui majina ya watu wanaowaambia Wagalatia kwamba wanahitaji kutii Sheria ya Musa au 2) Paulo hataki Wagalatia washughulike kujua kama wale wanaowasumbua ni matajiri au maskini au wakubwa au wadogo au wenye au wasio na dini