sw_tn/gal/05/03.md

809 B

shuhudia

"tangaza" au "tumika kama shahidi"

kwa kila mtu aliyetahiriwa

Paulo anatumia neno 'tohara' kama kwa kumaanisha hali ya kuwa Myahudi. "kwa kila mtu ambaye amekuwa Myahudi"

wajibika

"amefungwa" au "zuiliwa" au "kufanywa kuwa watumwa"

Ninyi mmetengwa ktoka kwa Kristo

"Ninyi mmekomesha au kusitisha uhusiano wenu na Kristo"

ninyi wote "mnaohesabiwa haki" kwa sheria

Paulo anaongea kwa kinyume hapa. Anafundisha hasa kwamba hakuna Myahudi anayeweza kuhesabiwa haki kwa kufanya matendo yanayotakiwa na sheria. "ninyi wote mnaodhani mnaweza kuhesabiwa haki kwa kufanya matendo yanayotakiwa na sheria" au " ninyi mnataka kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria"

Ninyi mmeanguka mbali na neema

Yule anayetoa neema anaweza kuelezwa kwa uwazi zaidi. "Mungu hatawaonesha neema yake kwenu"