sw_tn/gal/04/30.md

317 B

Ndugu

Neno linalomaanisha wafuasi wa Kristo wote wa kiume na wa kike. Waumini wote wa Yesu Kristo ni jamii moja na familia moja ya kiroho iko pamoja na Mungu Baba yao wa mbinguni.

bali ni wa mwanamke huru

Maneno yaliyoachwa nje yanaweza yakapachikwa hapa "lakini badala yake, sisi ni watoto wa mwanamke huru."