sw_tn/gal/04/28.md

749 B

Ndugu

Neno linalomaanisha wafuasi wa Kristo wote wa kiume na wa kike. Waumini wote wa Yesu Kristo ni jamii moja na familia moja ya kiroho iko pamoja na Mungu Baba yao wa mbinguni.

watoto wa ahadi

Maana zinazokuballika kwa Wagalatia kuwa watoto wa Mungu ni 1) kwa kuziamini ahadi za Mungu 2) kwasababu Mungu anatenda miujiza katika kutimiza ahadi zake kwa Ibrahimu, kwanza kwa kumpa Ibrahimu mwana na pia kwa kuwafanya Wagalatia watoto wa Ibrahimu na wa Mungu pia.

Kutokana na mwili

Neno hili linafafanua kitendo cha Ibrahimu kuwa Baba wa Ishmael kwa kumtwaa Hajiri kuwa mke wake. "Kwa matendo ya kibinadamu" au 'Kwasababu ya kile watu walichokifanya."

Kutokana na Roho

Kwasababu ya uongozi wa Roho katika kutimiza mapenzi yake.