sw_tn/gal/04/21.md

249 B

Niambieni

Ni hali ya kutaka kuuliza swali au ninataka kuwaambia jambo fulani

Hamsikii sheria isemavyo?

Paulo anatoa utangulizi kwa jambo analokusudia kulisema baadaye. "Mnapaswa kujifunza vile sheria isemavyo" ama "niwaeleze sheria isemavyo"