sw_tn/gal/04/19.md

580 B

Sentensi unganishi

Paulo anawaambia waumini kwamba neema na sheria haziwezi kufanya kazi kwa pamoja.

Watoto wangu wadogo

Hii ni sitiari kurejelea wanafunzi au wafuasi. " Ninyi mlio wanafunzi kwasababu yangu."

Nateseka kwa uchungu mkali kama wa mwanamke azaapo mpaka Kristo aumbike ndani yenu.

Paulo anatumia neno 'uchungu" kama lugha ya picha kuonesha namna alivyojihusisha na Wagalatia. "Niko katika mateso ni kana kwamba nimekuwa mwanamke aliyeshikwa na utungu wa kuwazaa, na nitaendelea kuwa katika mateso mpaka Kristo atakapowatawala maisha yenu kikweli kweli.