sw_tn/gal/04/17.md

369 B

Kwa huruma wanawatafuta...muwafuate...

"kuwashawishi ili muungane pamoja nao. Paulo anaonyesha nia ya walimu wa uongo iliyokuwepo, walionyesha huruma kwa Wagalatia ili wawafuate wao kwa lengo la kuwaondoa kwenye kweli.

kuwatenganisha

"kuwatenganisha ninyi na mimi" au "kuwafanya mwache kuwa waaminifu kwangu"

kwa shauku

Shauku ya Kufanya kile wanachowaambia