sw_tn/gal/04/10.md

384 B

mnashika kwa uangalifu siku amaalumu, miandamo ya miezi, majira, na miaka

Paulo anazungumzia juu yao kuwa waangalifu katika kusherehekea vipindi/nyakati fulani, wakiamini kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wenye haki. "mko makini katika kusherehekea siku na miandamo ya miezi na majira na miaka"

mnajitaabisha bure

"kuwa katika hali ya kutofaa, "bila mafanikio" au "kukosa faida"