forked from WA-Catalog/sw_tn
855 B
855 B
Sentense unganishi
Paulo anawakumbusha tena wasomaji wake kuwa wanajaribu tena kuishi chini ya sheria badala ya kuishi kwa imani.
Maelezo ya jumla
Hapa Paulo anaendelea kuwakemea Wagalatia kwa kuwauliza maswali ya kejeli, yasiyohitaji majibu
Mnajulikana na Mungu
inaweza pia kuelezwa kwa muundo tendaji kama "Mungu anawajua"
kwa nini mnarejea tena... kanuni?
Hili swali la kwanza kati ya maswali mawili yanayo na majibu ndani yake. "Kuwa msirejee tena nyuma katika kanuni za awali."
Kanuni za awali
Maana zinazokubalika ni 1) inarejelea sheria na kanuni za kimaadili za ulimwengu 2) inarejelea nguvu za kiroho, ambazo baadhi ya watu wanadhani zinatawala kile kinachotokea duniani.
Mnataka kuwa watumwa tena?
Swali hili laweza kutafsiriwa kama maelezo tu "Hamtakiwi kuw mtumwa tena" au "Inaonyesha kuwa mnataka kuwa watumwa tena."