sw_tn/gal/04/01.md

16 lines
347 B
Markdown

# Kauli Unganishi
Paulo anazidi kuwakumbusha wakristo wa Galatia kwamba Kristo alikuja kukomboa wale waliokuwa chini ya sheria, na kuwafanya wasiwe watumwa tena bali wana.
# hakuna utofauti
"kuwa sawa na "
# waangalizi
Watu wenye wajibu wa kisheria kuangalia watoto
# wadhamini
ni watu wanaoaminiwa na wengine kutunza vitu vyenye thamani