forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
347 B
Markdown
16 lines
347 B
Markdown
# Kauli Unganishi
|
|
|
|
Paulo anazidi kuwakumbusha wakristo wa Galatia kwamba Kristo alikuja kukomboa wale waliokuwa chini ya sheria, na kuwafanya wasiwe watumwa tena bali wana.
|
|
|
|
# hakuna utofauti
|
|
|
|
"kuwa sawa na "
|
|
|
|
# waangalizi
|
|
|
|
Watu wenye wajibu wa kisheria kuangalia watoto
|
|
|
|
# wadhamini
|
|
|
|
ni watu wanaoaminiwa na wengine kutunza vitu vyenye thamani
|