sw_tn/gal/03/23.md

1.3 KiB

Sentensi unganishi:

Paulo anawakumbushaWagalatia wote kwamba waumini wako huru katika familia ya Mungu, si watumwa chini ya sheria.

tulikuwa tumefungwa na kuwa chini ya sheria

kifungu hiki cha maneno kinaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tenda. "sheria ilitufunga na tukawa kifunguni." au "sheria ilitunga gerezani."

tulikuwa tumefungwa na kuwa chini ya sheria

Kwa namna ambavyo sheria zilituongoza ni kana kwamba sheria alikuwa mlinzi wa gereza aliyetushikilia. "sheria zilituongoza mfano wa mlinzi wa gereza"

hadi ufunuo wa imani

Kifungu hiki cha maneno kinaweza kwa muundo tendaji. "mpaka Mungu alipodhihirisha kwamba huwahesabia wale wote wanaomtumaini Kristo" au "mpaka Mungu alipofunua kwamba huhesabia wale wote wenye imani katika Kristo"

mwangalizi

Neno hili ni zaidi ya "mtu yule anayemwangalia mtoto." huyu alikuwa ni Mtumwa aliyewajibika na usimamizi wa kanuni na mwenendo uliotolewa na wazazi, na ambaye alitakiwa kutoa taarifa kwa wazazi juu ya matendo ya mtoto.

mpaka Kristo alipokuja

"mpaka ule muda ambao Kristo alikuja"

ili tuweze kuhesabiwa haki

Mungu alikusudia kutuhesabia haki kabla ya ujio wa Yesu. Yesu alipokuja , alitekeleza kusudi lake la kutuhesabia haki. Inaweza kuelezwa kwa muundo tenda" "Kwamba Mungu angetutangaza kuwa wenye haki"