sw_tn/gal/03/21.md

1.1 KiB

Maelezo ya jumla

Neno "sisi" linarejelea wakristo wote.

badala ya

"kinyume cha" au "katika mgongano na"

kama sheria ilikuwa imetolewa ilikuwa na uwezo wa kuleta uzima,

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji, na nomino dhahania "maisha" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "ishi" "Kama Mungu angekuwa ametoa sheria inayowawezesha wote walioishika kuishi, tungekuwa wenye haki kwa kushika sheria"

andiko limefunga mambo yote chini ya dhambi. Mungu alifanya hivi ili kwamba ahadi yake ya kutuokoa sisi kwa imani katika Yesu Kristo iweze kupatikana kwa wale wanaoamini.

Maana nyingine zinazowezekana ni: 1) "Kwa sababu wote tumetenda dhambi, Mungu aliweka mambo yote chini ya uongozi wa sheria kama kuwaweka katika kifungo, ili kwamba kile alichoahidi kwa hao ambao wenye imani katika Kristo Yesu aweze kuwapatia ambao wameamini" 2) "kwasababu tunatenda dhambi, Mungu ameweka mambo yote katika kifungo. Alifanya hivi kwasababu ya kile alichokiahidi katika Kristo Yesu awape wale wanaoamini"

maandiko

Paulo anayaona maandiko kama alikuwaa ni mtu anaongea na Mungu, ambaye aliyaandika maandiko "Mungu"