sw_tn/gal/03/19.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi:

Paulo anawaambia waumini wa Galatia sababu ya Mungu kuwapa sheria.

Kwanini tena sheria ilitolewa?

Paulo anatua swali katika kutambulisha mada ijayo anayotaka kuijadili. inaweza pia kutafsiriwa kama maelezo. "nitawaambia nini makusudi ya sheria. au "acheni niwaambie kwa kwanini Mungu aliwapa sheria?

Iliongezwa

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu aliiongeza" au"Mungu aliongeza sheria"

Sheria iliwekwa katika shinikizo kupitia malaika kwa mkono wa mpatanishi

Hii inaweza kufasiriwa katika muundo tendaji. Mungu aliweka sheria kwa msaada wa malaika , na mpatanishi akaipisha au kuirasimisha"

Mpatanishi

mwakilishi

mpatanishi anaashiria zaidi ya mtu mmoja, lakini Mungu ni mmoja

Mungu alimwahidi Ibrahimu pasipo mpatanishi, lakini alimpa Musa sheria kupitia kwa mpatanishi. kutokana na hicho, wasomaji wa waraka wa Paulo walifikiri kwamaba sheria imeifanya ahadi isiwe na umuhimu. Paulo anaeleza kile ambacho wasomaji wake wanaweza kuwa wanafikiria. Naye atatoa maelezo yake katika mistari inayofuata.