sw_tn/gal/03/10.md

1.3 KiB

Wale ambao wanategemea matendo ya sheria wako chini ya laana

Kuwa chini ya laana inamaanisha kuwa umelaaniwa. Hapa inaonesha kuwa ni kuhukumiwa milele. " Wale wanaotegemea matendo ya sheria wamelaaniwa" au "Mungu atawahukumu hukumu ya milele wale ambao wanategemea matendo ya sheria"

Sasa ni wazi kwamba Mungu huhesabia

Kile kilicho wazi huelezwa dhahiri. "Maandiko yako wazi" au "maandiko yanafundisha wazi wazi."

Mungu hamhesabii haki hata mmoja kwa sheria,

kifungu hiki cha maneno kinaweza kuelezwa kwa kitenzi kitendaji. "Mungu hahesabu haki kwa mtu hata mmoja kwa njia ya sheria"

Mungu hamhesabii haki hata mmoja kwa sheria,

Paulo anasahihisha imani yao kwamba kama wangeitii sheria, Mungu angewahesabia haki. "Hakuna hata mmoja ambaye anaweza kuhesabiwa haki mbele za Mungu kwa kutii sheria" au "Mungu hamhesabii mtu haki kwa utiifu wao wa sheria."

wenye haki

Hii inarejelea watu wenye haki. "Watu wenye haki" au "Watu wale ambao Mungu huwaona ni wenye haki"

matendo ya sheria

"Lazima kufanya yote yanayosemwa na sheria "

ishi kwa sheria

Maanza zinazokubalika 1) Ni lazima kutii "ishi kulingana na" au "Jinyenyekeze kwa" au "salia mwaminifu kwa" au "tii" au "tekeleza"

wataishi kwa sheria

Maana zinazowezekana ni: 1) "lazima kuzitii sheria zote" 2) atahukumiwa kwa sababu ya uwezo wake wa kuishi kama vile sheria zinamwagiza kutenda"