sw_tn/gal/02/17.md

560 B

Lakini kama tunapomtafuta kuhesabia haki ndani ya Kristo

Hii inamaanisha kwamba tumehesabiwa haki kwasababu tumeungana na Kristo na kuhesabiwa haki kwetu kwa njia ya Kristo.

tunajikuta sisi wenyewe pia kuwa wenye dhambi

Maneno "tunajikuta wenye dhambi" yanatilia mkazo kuwa kwa kweli sisi ni wenye dhambi.

sivyo hivyo! La hasha

"Bila shaka hiyo siyo kweli!" Maelezo haya yanatupa jibu hasi kwa swali lililotangulia, Je Yesu alifanyika mtumwa wa dhambi? Unaweza kuwa na maelezo yenye maana sawa katika lugha yako ambayo unaweza kuyatumia hapa.