sw_tn/ezr/10/14.md

429 B

muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji

Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"muda ambao viongozi na waamuzi wa mji wataupanga"

Yonathani...Asaheli...Yazeya...Tikwa...Meshulamu.......Sh

majina ya wanaume

Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili

Maana inaweza kuwa 1) hawa watu hawakutaka wakuu wa mji kuchunguze maovu au 2) hawakutaka mtu yeyote kuchunguza ndoa za watu.