forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
484 B
Markdown
12 lines
484 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Barua kutoka kwa Tetai kwenda kwa mfalme inaendelea. Tetai anaendelea kumwambia mfalme kile ambacho wayahudi walimwambia kuanzia katika 5:11
|
|
|
|
# kumchukiza Mungu wa mbinguni
|
|
|
|
"kumfanya Mungu wa mbinguni kuwa mkali kwetu sisi"
|
|
|
|
# aawatia katika mikono ya mfalme Nebukadineza wa Babeli, ambaye alivunja nyumba na kuwachukua watu
|
|
|
|
Mkono ni mfano wa nguvu au kuongoza. Pia, "kuruhusu Nebukadineza mfalme wa Babeli na jeshi lake kuvunja hii nyumba na kuwachukua watu"
|