forked from WA-Catalog/sw_tn
671 B
671 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anazungumzia kuhusu watu wa israeli.
Nitaanzisha agano
"nitaweka"
agano la amani
Tazama tafsiri yake katika sura ya 34:25.
nitayaimarisha
Inaonyesha kwamba Yahwe wangeweza kuwaimarisha katika nchi ya Israeli.
zidisha
Tazama tafsiri yake katika sura ya 36:10
mahali pangu patakatifu
"patakatifu pangu" au "hekalu langu"
makao yangu
"mahali ambapo ninaposhi"
nitakuwa Mungu wao, na wao watakuwa watu wangu
Tazama tafsiri yake katika sura ya 11:19.
watajua yakuwa mimi ndimi Yahwe
Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.
mahali pangu patakatifu
"patakatifu pangu" au "hekalu langu"
kati yao
"miongoni mwao"