forked from WA-Catalog/sw_tn
573 B
573 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe ananena na Ezekieli.
Sikiliza neno la Yahwe
Tazama tafsiri yake katika sura ya 13:1.
Tazama
"Ona" au "Sikia"
mishipa
sehemu ya miili ya mwanadamu ambayo ni kama gidamu ngumu na hushikkamana na mifupa na misuli pamoja
weka pumzi miongoni
Hapa "pumzi" inarejea kwa kupumua. "nitakufanya kupumua"
pumzi
Neno la Kiebrania limetafsiriwa kama "pumzi" katika mstari huu limetafsiriwa kama "roho" pia limetafsiriwa katika matoleo mengine machache kama "upepo"
mtajua kwamba mimi ndimi Yahwe
Tazama tafsiri yakekatika sura ya 6:6.