forked from WA-Catalog/sw_tn
829 B
829 B
Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Wasraeli.
nyumba ya Israeli
Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 3:1.
Mnasema hivi
"Hivi ndivyo ulivyosema"
Makosa yetu na dhambi zetu
wanajisikia haitia kwa makosa yao na dhambi
na tunadhoofika kwa ajili yao
Hili neno linalinganisha jinsi dhambi inavyo muharibu mtu.
kati yao
Hii inamaanisha watu wanajua Mungu hatawasamehe.
Nitaishije?
Watu huuliza hili swali kusisitiza kwamba hawana tumaini la kuishi.
Kama niishivyo
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
hili ndilo tangazo la Yahwe
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
kama mwovu akitubu kutoka njia yake?
"kama mtu muovu akiacha kufanya mambo mabaya"
kwa nini mnataka kufa
Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba hataki watu wa Israeli kufa.